A member of the Kwara State House of Assembly, Jimoh Raheem Agboola, has been suspended. Naija News understands that Agboola is the only Peoples Democratic Party, PDP, a member in the House.
His suspension was announced on Tuesday, July 13. The State House of Assembly has in total 24 members, APC took a larger number of the members having 23 of them with Agboola as lone PDP to make the list of 24 members of the legislature. Read More...
-Wakenya sasa wametahadharishwa dhidi ya kuogea maji moto
-Hii ni baada ya tume ya ERC kutoa kiasi cha maji moto ambayo yanapaswa kutumika na mtu mmoja kwa siku.
-Tume hiyo inamtaka kila Mkenya kutumia maji chini ya lita 10 kwa siku
Kuogea maji moto humu nchini Kenya huenda kukakuweka taabani. Hii ni baada ya tume ya kudhibiti kawi nchini( ERC) kutoa onyo kali kwa wanaotumia maji moto.
Tume hiyo imetangaza kuwa mtu mmoja anapaswa kutumia chini ya lita 10 ya maji kila siku na yeyote atakayedi kiwango hicho atachukuliwa hatua za kisheria. Read More...